SERIKALI ITAENDELEA KUWALINDA WENYE VIWANDA-MAJALIWA.
19 Septemba, 2021 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwalinda wenye viwanda nchini na haitavumilia kuona wawekezaji wakinyanyaswa. Pia, Waziri Mkuu amesema Mheshimiwa Rais Samia amewaagiza wasaidizi wake wasimamie mwenendo mzima wa masoko ya mazao mbalimbali nchini likiwemo na zao la Kahawa ili kuhakikisha wakulima wananufaika
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed